Swali: Je, inafaa kuwafanya watumwa makafiri wa kiarabu?
Jibu: Inatakiwa kuhimiza kunyooka sawa na kuingia ndani ya Uislamu ili watu wasifanywe kuwa watumwa. Vinginevyo Maswahabah waliwafanya watumwa Banuu Haniyfah. Ni sawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia kijakazi wa ´Aaishah:
“Mwache huru! Kwani hakika ni miongoni mwa kizazi cha Ismaa´iyl.”
Hapana vibaya. Vilevile amesema tena (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… ni kana kwamba ameacha huru watumwa wanne katika kizazi cha Ismaa´iyl.”
Kwa hivyo waarabu wanafanywa watumwa kwa njia inayokubalika katika Shari´ah wakiwa ni makafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23038/هل-يجوز-استرقاق-كفار-العرب
- Imechapishwa: 29/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)