Swali: Je, muadhini ageuze kichwa [upande wa kulia na wa kushoto] wakati wa ´Haiyyaa ´alaas-Swalaat` na ´Haiyyaa ´alaal-Falaah` na aweke vidole vyake masikioni pamoja na kuwepo vipaza sauti au hekima juu ya hilo imeisha?
Jibu: Hapana. Hekima haikuisha. Ageuke upande wa kulia na wa kushoto kwa sababu hii ni Sunnah yenye kubaki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, muadhini ageuze kichwa [upande wa kulia na wa kushoto] wakati wa ´Haiyyaa ´alaas-Swalaat` na ´Haiyyaa ´alaal-Falaah` na aweke vidole vyake masikioni pamoja na kuwepo vipaza sauti au hekima juu ya hilo imeisha?
Jibu: Hapana. Hekima haikuisha. Ageuke upande wa kulia na wa kushoto kwa sababu hii ni Sunnah yenye kubaki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/waadhini-wa-leo-wageuze-vichwa-vyao-na-kuweka-vidole-masikioniwaadhini-wa-leo-wageuze-vichwa-vyao-na-kuweka-vidole-masikioni__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)