Swali: Je, makatazo ya kula vitunguu na vitunguu saumu ni maalum msikitini au kunaingia pia kuhudhuria swalah ya mkusanyiko kwa anayeswali nchikavu au safarini?
Jibu: Kila kulipo mkusanyiko wa watu haitakikani kwa mtu kuwaudhi hata kama sio msikitini. Akiwa katika mkusanyiko wa watu basi asiwaudhi. Ni haramu kuwaudhi waumini. Lakini msikitini ni kubaya zaidi. Kwa sababu ni kuwaudhi Malaika na wanadamu. Mbali na msikitini anawaudhi wanadamu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 27/08/2021
Swali: Je, makatazo ya kula vitunguu na vitunguu saumu ni maalum msikitini au kunaingia pia kuhudhuria swalah ya mkusanyiko kwa anayeswali nchikavu au safarini?
Jibu: Kila kulipo mkusanyiko wa watu haitakikani kwa mtu kuwaudhi hata kama sio msikitini. Akiwa katika mkusanyiko wa watu basi asiwaudhi. Ni haramu kuwaudhi waumini. Lakini msikitini ni kubaya zaidi. Kwa sababu ni kuwaudhi Malaika na wanadamu. Mbali na msikitini anawaudhi wanadamu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 27/08/2021
https://firqatunnajia.com/vitunguu-na-vitunguu-saumu-katika-mikusanyiko-ya-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)