Swali: Wale wataopewa madaftari yao kwa mkono wa kushoto inawahusu makafiri au ndani yake kunaingia pia waislamu wenye dhambi kubwa?
Jibu: Hili linawahusu makafiri. Kuhusu muislamu, hata kama atakuwa na dhambi kubwa ilio chini ya shirki, ni muislamu. Atapewa daftari lake kwa mkono wa kulia.
Kuna mapote potofu wanakata mkono wa kushoto wa maiti ili [siku atapofufuliwa] asiwe na mkono wa kushoto na hivyo apewe daftari kwa mkono wa kulia. Wanamfanya Allaah (Subhanaahu wa ´Alaa) kutokuwa muweza! Kana kwamba hawaamini kuwa Allaah (Ta´ala) atauumba mwili wote ukiwa mzima na kurudisha mkono wa kushoto na kufufuliwa hali ya kuwa ni mkamilifu. Hivi ni vituko kwa watu hawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-11-7.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Wale wataopewa madaftari yao kwa mkono wa kushoto inawahusu makafiri au ndani yake kunaingia pia waislamu wenye dhambi kubwa?
Jibu: Hili linawahusu makafiri. Kuhusu muislamu, hata kama atakuwa na dhambi kubwa ilio chini ya shirki, ni muislamu. Atapewa daftari lake kwa mkono wa kulia.
Kuna mapote potofu wanakata mkono wa kushoto wa maiti ili [siku atapofufuliwa] asiwe na mkono wa kushoto na hivyo apewe daftari kwa mkono wa kulia. Wanamfanya Allaah (Subhanaahu wa ´Alaa) kutokuwa muweza! Kana kwamba hawaamini kuwa Allaah (Ta´ala) atauumba mwili wote ukiwa mzima na kurudisha mkono wa kushoto na kufufuliwa hali ya kuwa ni mkamilifu. Hivi ni vituko kwa watu hawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-11-7.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/vituko-na-vitakuro-vya-makhurafi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)