Omba kwa du´aa zilizothibiti  

Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuomba “Ee Mola wangu, kutokana na ninavokudhania vyema, hivyo basi nirehemu na unisamahe?

Jibu: Du´aa hii haikuthithi. Aombe kwa du´aa zilizothibiti katika Qur-aan na Sunnah kwa matamshi yake.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-11-7.mp3
  • Imechapishwa: 20/08/2020