Swali: Kuna propaganda kati ya vijana ambao wanaita katika Jihaad Syria. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Jihaad ina vidhibiti na masharti yake. Yametajwa katika vitabu vya ´Aqiydah. Sijisemei kutoka kwangu mwenyewe. Yametajwa katika vitabu vya ´Aqiydah vya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuwa ni ncha ya mkuki wa Uislamu. Jihaad ni muhimu. Hata hivyo ni lazima Jihaad iwe katika sifa ambayo imeweka Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Lakini vita vikiwa pasina ya kanuni za Kishari´ah na udhibiti uliyowekwa na Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), inakuwa shari, umwagikaji wa damu na uharibifu. Halileti manufaa yoyote. Halileti manufaa yoyote. Ni lazima kuwepo vidhibiti.
Kidhibiti muhimu zaidi ni Jihaad iwe chini ya uongozi wa mtawala wa Kiislamu. Mtawala au naibu wa mtawala ambaye atawaongoza Waislamu. Hivyo ndivyo ilikuwa kwa Salaf-us-Swaalih. Inapokuja katika Jihaad walikuwa wakirejea kwa watawala. Watawala ndio waliokuwa wakipanga hilo na wakilisimamia. Hii ndio Jihaad katika njia ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 23/04/2015
Swali: Kuna propaganda kati ya vijana ambao wanaita katika Jihaad Syria. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Jihaad ina vidhibiti na masharti yake. Yametajwa katika vitabu vya ´Aqiydah. Sijisemei kutoka kwangu mwenyewe. Yametajwa katika vitabu vya ´Aqiydah vya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuwa ni ncha ya mkuki wa Uislamu. Jihaad ni muhimu. Hata hivyo ni lazima Jihaad iwe katika sifa ambayo imeweka Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Lakini vita vikiwa pasina ya kanuni za Kishari´ah na udhibiti uliyowekwa na Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), inakuwa shari, umwagikaji wa damu na uharibifu. Halileti manufaa yoyote. Halileti manufaa yoyote. Ni lazima kuwepo vidhibiti.
Kidhibiti muhimu zaidi ni Jihaad iwe chini ya uongozi wa mtawala wa Kiislamu. Mtawala au naibu wa mtawala ambaye atawaongoza Waislamu. Hivyo ndivyo ilikuwa kwa Salaf-us-Swaalih. Inapokuja katika Jihaad walikuwa wakirejea kwa watawala. Watawala ndio waliokuwa wakipanga hilo na wakilisimamia. Hii ndio Jihaad katika njia ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 23/04/2015
https://firqatunnajia.com/vita-syria-pasina-manufaa-umgwagikaji-wa-damu-na-uharibifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)