Swali: Je, virutubisho anavyowekwa mgonjwa kwa njia ya damu vinafunguza?
Jibu: Ndio, vinamfunguza. Isipokuwa ikiwa ni damu kidogo kama damu kwa ajili ya kipimo. Hiyo inasamehewa. Damu inayochukuliwa kutoka kwenye kidole au kwengine kwa ajili ya kipimo ni yenye kusamehewa. Virutubisho vinavyowekwa kwa njia ya damu vinafunguza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22788/حكم-المغذيات-التي-توضع-للمريض-الصاىم
- Imechapishwa: 24/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)