Swali: Qadariyyah ni waabudia moto wa ummah huu?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kadhaa. Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah na wengine wametaja kwamba kwa mkusanyiko wake zinapeana nguvu, kwa sababu wanakanusha baadhi ya matendo ya Allaah. Waabudia moto wamesema kuwa kuna waungu wawili na kwa ajili hiyo wamefanana na waabudia moto.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25067/لماذا-كانت-القدرية-مجوس-هذه-الامة
- Imechapishwa: 31/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)