Swali: Vipi mtu atajua ni nani anayelingania katika upotevu?
Jibu: Mtu atazame Da´wah yao. Ikiwa wanalingania katika haki, ni walinganizi wa kheri. Ikiwa wanalingania katika batili, ni walinganizi wa upotevu. Ikiwa wanalingania katika Bid´ah, shirki na maasi, hawa ni katika walinganizi wa upotevu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13829
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Vipi mtu atajua ni nani anayelingania katika upotevu?
Jibu: Mtu atazame Da´wah yao. Ikiwa wanalingania katika haki, ni walinganizi wa kheri. Ikiwa wanalingania katika batili, ni walinganizi wa upotevu. Ikiwa wanalingania katika Bid´ah, shirki na maasi, hawa ni katika walinganizi wa upotevu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13829
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/vipi-mtu-atajua-ni-nani-mlinganizi-wa-upotevu/