Swali: Vipi mtu atajua ni nani anayelingania katika upotevu?
Jibu: Mtu atazame Da´wah yao. Ikiwa wanalingania katika haki, ni walinganizi wa kheri. Ikiwa wanalingania katika batili, ni walinganizi wa upotevu. Ikiwa wanalingania katika Bid´ah, shirki na maasi, hawa ni katika walinganizi wa upotevu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13829
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)