Swali: Inatokea wakati mwingine wateja wanasahau vitu vyao katika duka letu la nguo. Vitu hivyo vinabaki kwetu mwaka mzima na wamiliki wavyo hawaji. Je, baada ya hapo vinakuwa ni vya mmiliki wa duka au tuvipeleke katika jumuiya za misaada?
Jibu: Ni vizuri ikiwa mtavitoa kuwapa jumuiya za misaada. Vilevile haina neno ikiwa mtawapa watu wenye kuhitaji na kunuia thawabu ziwaendee wenye navyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Inatokea wakati mwingine wateja wanasahau vitu vyao katika duka letu la nguo. Vitu hivyo vinabaki kwetu mwaka mzima na wamiliki wavyo hawaji. Je, baada ya hapo vinakuwa ni vya mmiliki wa duka au tuvipeleke katika jumuiya za misaada?
Jibu: Ni vizuri ikiwa mtavitoa kuwapa jumuiya za misaada. Vilevile haina neno ikiwa mtawapa watu wenye kuhitaji na kunuia thawabu ziwaendee wenye navyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/vinavyookotwa-kuwapa-jumuiya-za-misaada-na-wamasikini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)