Swali: Ni lazima matabano yafanyike kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah au ni kama dawa nyenginezo na imejengeka juu ya kujitahidi?
Jibu: Matabano yamejengeka juu ya Qur-aan na du´aa zilizowekwa katika Shari´ah. Haya ndio matabano; du´aa zilizowekwa katika Shari´ah na Qur-aan. Hakuna matabano yasiyokuwa haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Ni lazima matabano yafanyike kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah au ni kama dawa nyenginezo na imejengeka juu ya kujitahidi?
Jibu: Matabano yamejengeka juu ya Qur-aan na du´aa zilizowekwa katika Shari´ah. Haya ndio matabano; du´aa zilizowekwa katika Shari´ah na Qur-aan. Hakuna matabano yasiyokuwa haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/hakuna-matabano-yasiyokuwa-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)