Hakuna matabano yasiyokuwa haya

Swali: Ni lazima matabano yafanyike kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah au ni kama dawa nyenginezo na imejengeka juu ya kujitahidi?

Jibu: Matabano yamejengeka juu ya Qur-aan na du´aa zilizowekwa katika Shari´ah. Haya ndio matabano; du´aa zilizowekwa katika Shari´ah na Qur-aan. Hakuna matabano yasiyokuwa haya.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
  • Imechapishwa: 05/03/2022