Swali: Viatu vya ngozi ya nguruwe?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Salama zaidi ni kuacha kufanya hivo. Avae viatu vya ngozi ya mnyama aliye halali; ngamia, kondoo na ng´ombe. Kwa sababu kuna tofauti juu ya uhalali wa ngozi ya nguruwe inaposafishwa. Baadhi ya wanazuoni wanaiharamisha hata kama itasafishwa.
Swali: Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo?
Jibu: Salama zaidi ni kuacha kufanya hivo. Kiache kile chenye kukutia shaka na badala yake kiendee kile kisichokutia shaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21955/ما-حكم-النعل-المتخذ-من-جلد-الخنزير
- Imechapishwa: 07/10/2022
Swali: Viatu vya ngozi ya nguruwe?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Salama zaidi ni kuacha kufanya hivo. Avae viatu vya ngozi ya mnyama aliye halali; ngamia, kondoo na ng´ombe. Kwa sababu kuna tofauti juu ya uhalali wa ngozi ya nguruwe inaposafishwa. Baadhi ya wanazuoni wanaiharamisha hata kama itasafishwa.
Swali: Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo?
Jibu: Salama zaidi ni kuacha kufanya hivo. Kiache kile chenye kukutia shaka na badala yake kiendee kile kisichokutia shaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21955/ما-حكم-النعل-المتخذ-من-جلد-الخنزير
Imechapishwa: 07/10/2022
https://firqatunnajia.com/viatu-vya-ngozi-ya-nguruwe-ii/