Swali: Nini maana ya Hadiyth isemayo:
“Uchanikaji ni katika imani.”[1]
Jibu: Bi maana kutojikalifisha. Kwa mfano wa kutojikalifisha katika mavazi. Mtu avae vizuri lakini asijikakame na akatoka nje.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (4161).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2020
Swali: Nini maana ya Hadiyth isemayo:
“Uchanikaji ni katika imani.”[1]
Jibu: Bi maana kutojikalifisha. Kwa mfano wa kutojikalifisha katika mavazi. Mtu avae vizuri lakini asijikakame na akatoka nje.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (4161).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 17/06/2020
https://firqatunnajia.com/vaa-vizuri-bila-ya-kujikakama/