Swali: Ni ipi hukumu ya misahafu kuwa kwenye kabati ya vitabu nyuma ya waswaliji ambapo wanazigeuzia mgongo wakati wa kuswali?
Jibu: Hakuna tatizo. Ni sawa. Misahafu inakuwa kwenye kabati ya vitabu hata kama itakuwa nyuma ya waswilaji.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya misahafu kuwa kwenye kabati ya vitabu nyuma ya waswaliji ambapo wanazigeuzia mgongo wakati wa kuswali?
Jibu: Hakuna tatizo. Ni sawa. Misahafu inakuwa kwenye kabati ya vitabu hata kama itakuwa nyuma ya waswilaji.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 17/06/2020
https://firqatunnajia.com/misahafu-nyuma-ya-waswilaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)