Swali: Kuna watu wenye kuona uzito kusoma as-Sajdah na al-Insaan katika Fajr ya siku ya ijumaa. Je, yakubaliwe maneno yao?
Jibu: Hapana. Kinachozingatiwa katika kukhafifisha ni ukhafifishaji wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye kiigizo. Anas anasema:
“Alikuwa akikamilisha na akikhafifisha swalah.”
“Sijamuona imamu anayekhafifisha na kukamilisha swalah kuliko Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Kwa hivyo anatakiwa kuigilizwa katika hili (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye aliyewafunza watu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23524/حكم-من-يعد-قراءة-السجدة-والانسان-شاقة
- Imechapishwa: 04/02/2024
Swali: Kuna watu wenye kuona uzito kusoma as-Sajdah na al-Insaan katika Fajr ya siku ya ijumaa. Je, yakubaliwe maneno yao?
Jibu: Hapana. Kinachozingatiwa katika kukhafifisha ni ukhafifishaji wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye kiigizo. Anas anasema:
“Alikuwa akikamilisha na akikhafifisha swalah.”
“Sijamuona imamu anayekhafifisha na kukamilisha swalah kuliko Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Kwa hivyo anatakiwa kuigilizwa katika hili (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye aliyewafunza watu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23524/حكم-من-يعد-قراءة-السجدة-والانسان-شاقة
Imechapishwa: 04/02/2024
https://firqatunnajia.com/uzito-kusoma-as-sajdah-na-al-insaan-fajr-siku-ya-ijumaa/