Swali: Sisi tuko katika mji ambapo wamekithiri Raafidhwah na Suufiyyah. Vipi tutawaokoa ´Awwaam kutoka kwao? Je, tuwalinganie wazushi hawa au ´Awwaam peke yake?
JIbu: Mwenye uwezo ni wajibu kwake kuwalingania walinganizi, kuwabainishia na kuwasimamishia hoja. Kuhusiana na asiyekuwa na uwezo abainishe mambo kiasi na atakavyoweza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2104
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Sisi tuko katika mji ambapo wamekithiri Raafidhwah na Suufiyyah. Vipi tutawaokoa ´Awwaam kutoka kwao? Je, tuwalinganie wazushi hawa au ´Awwaam peke yake?
JIbu: Mwenye uwezo ni wajibu kwake kuwalingania walinganizi, kuwabainishia na kuwasimamishia hoja. Kuhusiana na asiyekuwa na uwezo abainishe mambo kiasi na atakavyoweza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2104
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-kuanza-kuwalingania-walinganizi-wa-bidah/