Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Niko mbali na muislamu anayeishi kati ya washirikina.”
Je, hili linahusu pia mtu anafanya utalii katika miji ya makafiri?
Jibu: Ndio. Haijuzu kusafiri katika miji ya makafiri pasi na haja. Utalii sio haja. Haja ni kwa mfano matibabu ambayo hayapatiki isipokuwa huko, biashara na mikataba ya biashara na makampuni, masomo yasiyopatikani isipokuwa huko ambayo twahayahitajia, kulingania katika dini ya Allaah. Ama kusafiri kwa ajili ya utalii na kuishi huko haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Niko mbali na muislamu anayeishi kati ya washirikina.”
Je, hili linahusu pia mtu anafanya utalii katika miji ya makafiri?
Jibu: Ndio. Haijuzu kusafiri katika miji ya makafiri pasi na haja. Utalii sio haja. Haja ni kwa mfano matibabu ambayo hayapatiki isipokuwa huko, biashara na mikataba ya biashara na makampuni, masomo yasiyopatikani isipokuwa huko ambayo twahayahitajia, kulingania katika dini ya Allaah. Ama kusafiri kwa ajili ya utalii na kuishi huko haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/utalii-katika-miji-ya-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)