Swali: Ni kiwango kipi kwa yule mwenye kuacha kuswali anakufuru? Je, yule mwenye kuacha swalah moja tu anakuwa kafiri au inahitajia kwa mtu kudumu katika kuziacha?
Jibu: Mwenye kuacha swalah moja kwa kukusudia anakufuru. Ni wajibu kutubu kwa Allaah na asilimu upya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema yule mwenye kusahau swalah au akapitikiwa na usingizi aiswali pale atapokumbuka. Hakutaja kwa yule mtu mwenye kuacha kwa kukusudia kuwa ailipe. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa ni lazima kwake kutubu na kuhifadhi swalah upya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ni kiwango kipi kwa yule mwenye kuacha kuswali anakufuru? Je, yule mwenye kuacha swalah moja tu anakuwa kafiri au inahitajia kwa mtu kudumu katika kuziacha?
Jibu: Mwenye kuacha swalah moja kwa kukusudia anakufuru. Ni wajibu kutubu kwa Allaah na asilimu upya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema yule mwenye kusahau swalah au akapitikiwa na usingizi aiswali pale atapokumbuka. Hakutaja kwa yule mtu mwenye kuacha kwa kukusudia kuwa ailipe. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa ni lazima kwake kutubu na kuhifadhi swalah upya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/ni-swalah-ngapi-mtu-akiacha-anakuwa-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)