Swali: Ni ipi hukumu ya kusafiri kwa ajili ya utalii kwenda katika miji ya Kiislamu ambayo kumejaa maasi ya wazi wazi?
Jibu: Haijuzu kufanya utalii katika miji isiyokuwa na dini na ilio na maovu ya wazi wazi. Haijuzu kufanya utalii huko.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kusafiri kwa ajili ya utalii kwenda katika miji ya Kiislamu ambayo kumejaa maasi ya wazi wazi?
Jibu: Haijuzu kufanya utalii katika miji isiyokuwa na dini na ilio na maovu ya wazi wazi. Haijuzu kufanya utalii huko.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/utalii-katika-miji-ya-kiislamu-zilizo-na-maasi/