Swali: Sisi huku kwetu Marekani kuna watu wanawakimbiza watu kusoma vitabu vya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) na anasema kuwa haviwanufaishi waislamu walioko Marekani. Unasemaje juu ya hilo?

Jibu: Vitabu vya Shaykh vimejengwa juu ya Qur-aan na Sunnah, sawa ikiwa ni Marekani au kwengine. Vinasomwa Marekani na sehemu nyinginezo. Yule mwenye kutaka uongofu basi Allaah atamwongoza na asiyetaka uongofu huna juu yake la kufanya.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
  • Imechapishwa: 11/02/2017