Swali: Ni kweli kwamba inajuzu kunywa maji wakati mtu anaswali swalah ya Sunnah?
Jibu: Imepokelewa kutoka kwa Ibn-uz-Zubayr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) katika mnasaba wa swalah ya usiku. Anarefusha swalah ya usiku ambapo anahitajia kunywa maji wakati wa swalah. Hili limepokelewa kwa mnasaba wa swalah ya Sunnah na sio swalah ya faradhi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Ni kweli kwamba inajuzu kunywa maji wakati mtu anaswali swalah ya Sunnah?
Jibu: Imepokelewa kutoka kwa Ibn-uz-Zubayr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) katika mnasaba wa swalah ya usiku. Anarefusha swalah ya usiku ambapo anahitajia kunywa maji wakati wa swalah. Hili limepokelewa kwa mnasaba wa swalah ya Sunnah na sio swalah ya faradhi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/inafaa-kunywa-maji-wakati-wa-swalah-ya-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket