Tumeshuhudia wenyewe na kuona kuwa utajiri ndio inakuwa sababu ya kuharibika kwa mtu. Utamuona mtu katika hali ya ufukara anakuwa ni mnyenyekevu na mwenye kikimbilia kwa Allaah na anakuwa hana jeuri. Pale ambapo Allaah anamneemesha mali anakuwa na kiburi. Utajiri unamfanya kuwa na jeuri.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/41)
Tumeshuhudia wenyewe na kuona kuwa utajiri ndio inakuwa sababu ya kuharibika kwa mtu. Utamuona mtu katika hali ya ufukara anakuwa ni mnyenyekevu na mwenye kikimbilia kwa Allaah na anakuwa hana jeuri. Pale ambapo Allaah anamneemesha mali anakuwa na kiburi. Utajiri unamfanya kuwa na jeuri.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/41)
https://firqatunnajia.com/utajiri-kwa-baadhi-ya-waumini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)