Swali: Je, njia za kulingania katika dini ya Allaah inatakiwa iwe kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah tu (Tawqiyfiyyah) nikiwa na maana ya kwamba sitakiwi kulingania isipokuwa kwa kutumia njia ambayo Mitume walitumia?

Jibu: Ndio, ni lazima iwe hivi. Usizushe njia kutoka kwako. Usizushe njia kutoka kwako.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
  • Imechapishwa: 20/08/2020