Swali: Ni kipi kigezo juu ya kunyanyua mikono kwa ajili ya du´aa? Ni lini tunaruhusiwa kunyanyua mikono na lini haturuhusiwi kunyanyua?
Jibu: Sehemu ambazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliomba du´aa na hakunyanyua mikono yake, na sisi pia haifai kunyanyua. Mbali na sehemu hizi, asli ni kunyanyua mikono wakati wa kuomba du´aa. Kunyanyua mikono wakati wa kuomba du´aa ni katika sababu za kuitikiwa. Lakini sehemu ambazo imethibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameomba du´aa na hakunyanyua mikono yake, na sisi hatunyanyui.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni kipi kigezo juu ya kunyanyua mikono kwa ajili ya du´aa? Ni lini tunaruhusiwa kunyanyua mikono na lini haturuhusiwi kunyanyua?
Jibu: Sehemu ambazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliomba du´aa na hakunyanyua mikono yake, na sisi pia haifai kunyanyua. Mbali na sehemu hizi, asli ni kunyanyua mikono wakati wa kuomba du´aa. Kunyanyua mikono wakati wa kuomba du´aa ni katika sababu za kuitikiwa. Lakini sehemu ambazo imethibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameomba du´aa na hakunyanyua mikono yake, na sisi hatunyanyui.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kimsingi-ni-kunyanyua-mikono-wakati-wa-duaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)