Swali: Ikiwa kanzu hii ambayo alivaa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) haivaliwi na watu wa mji, kama mfano wa vazi jekundu, si inakuwa ni vazi la kutafuta umashuhuri?
Jibu: Ikiwa vazi hilo halivaliwi katika mji usilivae. Ikiwa watu wa mji mzima wamekubaliana juu ya kuvaa vazi la aina fulani – kama vile jeupe au jekundu – asende kinyume nao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23290/هل-من-الشهرة-ما-لا-يلبسه-اهل-البلد
- Imechapishwa: 21/12/2023
Swali: Ikiwa kanzu hii ambayo alivaa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) haivaliwi na watu wa mji, kama mfano wa vazi jekundu, si inakuwa ni vazi la kutafuta umashuhuri?
Jibu: Ikiwa vazi hilo halivaliwi katika mji usilivae. Ikiwa watu wa mji mzima wamekubaliana juu ya kuvaa vazi la aina fulani – kama vile jeupe au jekundu – asende kinyume nao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23290/هل-من-الشهرة-ما-لا-يلبسه-اهل-البلد
Imechapishwa: 21/12/2023
https://firqatunnajia.com/usivae-kinyume-na-wanavyovaa-watu-wa-mji-wako/