Swali: Mwenye kusema kuwa mwenye kufasiri ndoto bila ya elimu ni kama ambaye anajibu bila ya elimu na kwamba anapata dhambi?
Jibu: Haijuzu kufasiri ndogo pasi na elimu. Si fatwa wala ndoto. Haifai kwake kufanya kitu pasi na elimu na utambuzi kwa njia ya kwamba awe na utulivu juu ya jambo hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23378/حكم-تفسير-الرويا-بلا-علم
- Imechapishwa: 06/01/2024
Swali: Mwenye kusema kuwa mwenye kufasiri ndoto bila ya elimu ni kama ambaye anajibu bila ya elimu na kwamba anapata dhambi?
Jibu: Haijuzu kufasiri ndogo pasi na elimu. Si fatwa wala ndoto. Haifai kwake kufanya kitu pasi na elimu na utambuzi kwa njia ya kwamba awe na utulivu juu ya jambo hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23378/حكم-تفسير-الرويا-بلا-علم
Imechapishwa: 06/01/2024
https://firqatunnajia.com/usifasiri-ndoto-bila-ya-elimu/