Swali: Nikimpa mtu kiwango cha pesa ambacho atakiwekeza katika kitu na baadaye akafilisika, analazimika kuzilipa pesa hizo?
Jibu: Hapana. Ulimwamini juu ya kazi hiyo na hivyo hutakiwi kumtaka azilipe. Jambo la kupata faida na kufilisika haliko mkononi mwake, anaweza kupata faida na anaweza kufilisika. Ni vipi utamtaka kuzilipa?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 18/02/2022
Swali: Nikimpa mtu kiwango cha pesa ambacho atakiwekeza katika kitu na baadaye akafilisika, analazimika kuzilipa pesa hizo?
Jibu: Hapana. Ulimwamini juu ya kazi hiyo na hivyo hutakiwi kumtaka azilipe. Jambo la kupata faida na kufilisika haliko mkononi mwake, anaweza kupata faida na anaweza kufilisika. Ni vipi utamtaka kuzilipa?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 18/02/2022
https://firqatunnajia.com/urejeshaji-wa-pesa-zilizowekezwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)