Swali: Katika nchi za makafiri pindi wanaposherehekea sikukuu zao wanapika chakula ambapo wanawaalika waislamu. Je, inafaa kula chakula hichi?

Jibu: Hapana, kwa sababu hiki kimepikwa kwa ajili ya sikukuu za makafiri. Unapokula chakula chao unawashaji´isha katika kitendo chao.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
  • Imechapishwa: 18/02/2022