Swali: Wako wanaosema kuwa ile pesa inayohifadhiwa kwenye benki na baadaye benki inaizalisha na kuwalipa ribaa wateja wake ni aina fulani ya uwezekaji katika benki. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Si uwezekaji. Hukuweka pesa katika benki kwa ajili ya kuwekeza isipokuwa ni kwa ajili ya kuzilinda peke yake, kwa sababu unachelea zisije kuibiwa, kuchomeka na mfano wa hayo. Wewe unaweka pesa yako benki kwa ajili ya kuzilinda peke yake na si kwa lengo la kuzizalisha. Hata hivyo kama umeziweka kwa lengo la kuzizalisha inakuwa ribaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 18/02/2022
Swali: Wako wanaosema kuwa ile pesa inayohifadhiwa kwenye benki na baadaye benki inaizalisha na kuwalipa ribaa wateja wake ni aina fulani ya uwezekaji katika benki. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Si uwezekaji. Hukuweka pesa katika benki kwa ajili ya kuwekeza isipokuwa ni kwa ajili ya kuzilinda peke yake, kwa sababu unachelea zisije kuibiwa, kuchomeka na mfano wa hayo. Wewe unaweka pesa yako benki kwa ajili ya kuzilinda peke yake na si kwa lengo la kuzizalisha. Hata hivyo kama umeziweka kwa lengo la kuzizalisha inakuwa ribaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 18/02/2022
https://firqatunnajia.com/kuwekeza-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)