Swali: Vipi kuhusu mwisho wa myahudi au mkristo ambaye hakusikia kuhusu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mwisho wake anaachiwa Mola ambaye ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuhusu sisi tunamzingatia kuwa ni kafiri. Kwa hiyo hatutomzika katika makaburi ya waislamu na watamsimamia makafiri wenzake. Kuhusu ataingia Peponi au Motoni anaachiwa Allaah (´Azza wa Jall). Yeye ndiye atasimamia hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 26/11/2016
Swali: Vipi kuhusu mwisho wa myahudi au mkristo ambaye hakusikia kuhusu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mwisho wake anaachiwa Mola ambaye ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuhusu sisi tunamzingatia kuwa ni kafiri. Kwa hiyo hatutomzika katika makaburi ya waislamu na watamsimamia makafiri wenzake. Kuhusu ataingia Peponi au Motoni anaachiwa Allaah (´Azza wa Jall). Yeye ndiye atasimamia hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
Imechapishwa: 26/11/2016
https://firqatunnajia.com/upi-mwisho-wa-mkristo-au-myahudi-huyu/