Uongo ni sifa mbaya. Uongo ni miongoni mwa sifa za wanafiki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Alama za mnafiki ni tatu; akizungumza anasema uongo… “
baadhi ya watu wamepewa mtihani na maradhi haya. Hajihisi raha na utulivu mpaka aseme uongo. Yeye siku zote tu husema uongo. Anakupiga stori kumbe ni uongo. Akikaa kwenye kikao anafanya vituko ili awachekeshe tu watu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ole wake yule anayesema uongo ili awachekeshe watu. Ole wake! Ole wake!”[1]
Amesema “Ola wake” mara tatu.
[1] Abu Daawuud (4990) na amesema kuwa ni Hasan
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/305)
- Imechapishwa: 02/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)