Swali: Unyenyekevu unakuwa ndani ya moyo?
Jibu: Na kwenye viungo vya mwili pia:
قَدْ أَفْلَحَ الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ هُمْ فِي صَلَاتِهِمْ خَاشِعُونَ
“Hakika wamefaulu waumini; ambao katika swalah zao ni wenye kunyenyekea.”[1]]
Chimbuko na unyenyekevu ni moyoni. Moyo ukinyenyekea viungo pia vitanyenyekea. Isitoshe utulivu ni nguzo miongoni mwa nguzo za swalah ambayo ni lazima itekelezwe.
[1] 23:01-02
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23750/هل-الخشوع-يكون-في-القلب-والجوارح
- Imechapishwa: 20/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)