Swali: Ni sahihi kununua bidhaa kwa pesa ya wizi?
Jibu: Hapana. Ununuzi huo si sahihi kwa sababu pesa ni ya haramu. Bidhaa zilizoibiwa ni mali ya haramu. Kwa hivyo ni ununuzi ambao si sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 21/04/2021
Swali: Ni sahihi kununua bidhaa kwa pesa ya wizi?
Jibu: Hapana. Ununuzi huo si sahihi kwa sababu pesa ni ya haramu. Bidhaa zilizoibiwa ni mali ya haramu. Kwa hivyo ni ununuzi ambao si sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 21/04/2021
https://firqatunnajia.com/ununuzi-kwa-pesa-ya-wizi/