Kulipia bidhaa kabla na baada

Swali: Je, imeshurutishwa kulipia bidhaa papohapo au inafaa kwa mfano kuilipia mwishoni mwa mwezi?

Jibu: Hakuna neno. Malipo yanaweza ima kufanyika papohapo, mtu akaanza kulipa baada ya kuwa bidhaa hiyo amekwishaipokea au akalipia kabla kabla hajapokea bidhaa hiyo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
  • Imechapishwa: 21/04/2021