Unaweza kuwaswalia wasiokuwa Mitume?

Swali: Je, inajuzu kumswalia, kwa wasiokuwa Mitume, fulani (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sababu mwanamke alimwambia mwanamke:

“Niswalie mimi na mume wangu”?

Jibu: Inajuzu kuwaswalia baadhi ya waumini. Lakini hata hivyo hili lisifanywe ndio mazowea kama wafanyavyo Raafidhhwah. Wao wanamkhusisha ´Aliy na kusema “´alayhis-Salaam” au “´alayhis-Swalaatu was-Salaam”. Ikiwa hii ni alama ya Ahl-ul-Bid´ah haijuzu kufanya hivi. Ama mtu akisema hivo baadhi ya nyakati pasi na kufanya ndio mazowea yake ni sawa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (46) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2152
  • Imechapishwa: 06/09/2020