Imesuniwa kwa yule ambaye amepitwa na swalah ya ´iyd au amepitwa na sehemu yake kuilipa kwa sifa yake; aiswali Rak´ah mbili pamoja na Takbiyr zake zenye kuzidi. Kwa sababu ulipaji unasimulia utekelezaji. Pia kutokana na kuenea kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Kile mtakachokiwahi, kiswalini, na kile kilichokupiteni, kikamilisheni.”
Ukipitwa na Rak´ah pamoja na imamu basi ongezea nyingine.
Akija mtu akamkuta imamu anatoa Khutbah, basi atatakiwa kuketi chini kwa ajili ya kusikiliza Khutbah. Atakapomaliza basi ataiswali hali ya kuilipa.
Hapana neno kuilipa mtu kivyake au kwa mkusanyiko.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/277)
- Imechapishwa: 25/07/2020
Imesuniwa kwa yule ambaye amepitwa na swalah ya ´iyd au amepitwa na sehemu yake kuilipa kwa sifa yake; aiswali Rak´ah mbili pamoja na Takbiyr zake zenye kuzidi. Kwa sababu ulipaji unasimulia utekelezaji. Pia kutokana na kuenea kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Kile mtakachokiwahi, kiswalini, na kile kilichokupiteni, kikamilisheni.”
Ukipitwa na Rak´ah pamoja na imamu basi ongezea nyingine.
Akija mtu akamkuta imamu anatoa Khutbah, basi atatakiwa kuketi chini kwa ajili ya kusikiliza Khutbah. Atakapomaliza basi ataiswali hali ya kuilipa.
Hapana neno kuilipa mtu kivyake au kwa mkusanyiko.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/277)
Imechapishwa: 25/07/2020
https://firqatunnajia.com/unapopitwa-na-swalah-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)