Swali: Amri ya kumuua nyoka wakati wa swalah ni kwa njia ya ulazima au ni ya mapendekezo tu?
Jibu: Allaah ndiye ajuaye zaidi. Amri hiyo inaashiria kuwa jambo hilo limewekwa katika Shari´ah. Lakini kusema kuwa la lazima, ni jambo linahitaji kufikiriwa. Hata hivyo inaonyesha kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24978/هل-الامر-بقتل-الحية-في-الصلاة-للوجوب
- Imechapishwa: 17/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)