Swali: Kumtakia rehema anayechemua wakati wa Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Asifanye hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ukimwambia rafiki yako siku ya ijumaa nyamaza ilihali huku imamu yuko anatoa Khutbah, basi umefanya upuuzi.”[1]
Kwa hivyo asifanye hivo na wala asiitikie salamu.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (716).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25209/هل-يجوز-تشميت-العاطس-اثناء-خطبة-الجمعة
- Imechapishwa: 21/02/2025
Swali: Kumtakia rehema anayechemua wakati wa Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Asifanye hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ukimwambia rafiki yako siku ya ijumaa nyamaza ilihali huku imamu yuko anatoa Khutbah, basi umefanya upuuzi.”[1]
Kwa hivyo asifanye hivo na wala asiitikie salamu.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (716).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25209/هل-يجوز-تشميت-العاطس-اثناء-خطبة-الجمعة
Imechapishwa: 21/02/2025
https://firqatunnajia.com/unapomsikia-anayechemua-na-anayetoa-salamu-wakati-wa-khutbah-ya-ijumaa/