Swali: Anayekataa Sunnah kwa kufanya kiburi anaombewa du´aa mbaya?
Jibu: Aombewe uongofu. Pia akiombewa du´aa mbaya, basi mambo ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Basi kamwe hutoweza.”[1]
Kwa sababu alifanya kiburi.
[1] Salamah bin Akwa´ amesema:
“Mtu mmoja alikula kwa mkono wake wa kushoto mbele ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasema: “Kula kwa mkono wako wa kulia.” Akasema: “Siwezi.” Ndipo akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Basi kamwe hutoweza.” Hakuna kilichomzuia isipokuwa ni kiburi. Kisha baada ya hapo hakuweza tena kuupandisha kinywani mwake.” (Muslim (2021)).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25213/هل-يجوز-الدعاء-على-من-رفض-السنة-عنادا
- Imechapishwa: 21/02/2025
Swali: Anayekataa Sunnah kwa kufanya kiburi anaombewa du´aa mbaya?
Jibu: Aombewe uongofu. Pia akiombewa du´aa mbaya, basi mambo ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Basi kamwe hutoweza.”[1]
Kwa sababu alifanya kiburi.
[1] Salamah bin Akwa´ amesema:
“Mtu mmoja alikula kwa mkono wake wa kushoto mbele ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasema: “Kula kwa mkono wako wa kulia.” Akasema: “Siwezi.” Ndipo akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Basi kamwe hutoweza.” Hakuna kilichomzuia isipokuwa ni kiburi. Kisha baada ya hapo hakuweza tena kuupandisha kinywani mwake.” (Muslim (2021)).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25213/هل-يجوز-الدعاء-على-من-رفض-السنة-عنادا
Imechapishwa: 21/02/2025
https://firqatunnajia.com/nimuombee-duaa-mbaya-anayekataa-sunnah-kwa-kiburi/