Swali: Likisogezwa jeneza mbele ya imamu na mmoja wa waswaliji akajua kuwa maiti alikuwa haswali kabisa. Je, inafaa kwa mujibu wa Shari´ah kumweleza imamu?
Jibu: Udhahiri ni kwamba asimswalie ikiwa anatambua jambo hilo. Vinginevyo ushahidi wake mwenyewe pengine usikubaliwe. Lakini yeye akiacha kumswalia ndivo inavotakikana. Hapa ni pale anapojua kuwa alikuwa haswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23623/حكم-من-علم-ان-صاحب-الجنازة-لم-يكن-يصلي
- Imechapishwa: 01/03/2024
Swali: Likisogezwa jeneza mbele ya imamu na mmoja wa waswaliji akajua kuwa maiti alikuwa haswali kabisa. Je, inafaa kwa mujibu wa Shari´ah kumweleza imamu?
Jibu: Udhahiri ni kwamba asimswalie ikiwa anatambua jambo hilo. Vinginevyo ushahidi wake mwenyewe pengine usikubaliwe. Lakini yeye akiacha kumswalia ndivo inavotakikana. Hapa ni pale anapojua kuwa alikuwa haswali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23623/حكم-من-علم-ان-صاحب-الجنازة-لم-يكن-يصلي
Imechapishwa: 01/03/2024
https://firqatunnajia.com/unapojua-kuwa-maiti-alikuwa-haswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)