Swali: Je, ni katika Sunnah kusema:
كيف أصبحت
“Umeamkaje?”
Jibu: Hilo ni katika matendo ya waislamu. Hakuna chochote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maswahabah walimuuliza ´Aliy:
“Vipi hali ya Mtume? Mtume ameamkaje?”
Ameamka kwa himdi za Allaah hali ya kuwa amepona. Hayo ni maneno mazuri yanayotumiwa na waislamu. Yalisemwa na Maswahabah na waja wema.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24261/هل-قول-كيف-اصبحت-من-السنة
- Imechapishwa: 20/09/2024
Swali: Je, ni katika Sunnah kusema:
كيف أصبحت
“Umeamkaje?”
Jibu: Hilo ni katika matendo ya waislamu. Hakuna chochote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maswahabah walimuuliza ´Aliy:
“Vipi hali ya Mtume? Mtume ameamkaje?”
Ameamka kwa himdi za Allaah hali ya kuwa amepona. Hayo ni maneno mazuri yanayotumiwa na waislamu. Yalisemwa na Maswahabah na waja wema.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24261/هل-قول-كيف-اصبحت-من-السنة
Imechapishwa: 20/09/2024
https://firqatunnajia.com/umeamkaje/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)