Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja Udhhiyah kwa aliyekusudia kuhiji? Je, amnunue katika nchi yake na kumgawanya au ni sawa pia endapo atamnunua Makkah na kumchinja huko?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Lakini kama yuko na familia basi bora amchinje nchini mwake kwa ajili ya watoto na watu wa nyumbani kwake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 03/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja Udhhiyah kwa aliyekusudia kuhiji? Je, amnunue katika nchi yake na kumgawanya au ni sawa pia endapo atamnunua Makkah na kumchinja huko?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Lakini kama yuko na familia basi bora amchinje nchini mwake kwa ajili ya watoto na watu wa nyumbani kwake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 03/07/2020
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-kwa-aliyekusudia-kuhiji/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket