Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja Udhhiyah kwa aliyekusudia kuhiji? Je, amnunue katika nchi yake na kumgawanya au ni sawa pia endapo atamnunua Makkah na kumchinja huko?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Lakini kama yuko na familia basi bora amchinje nchini mwake kwa ajili ya watoto na watu wa nyumbani kwake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 03/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja Udhhiyah kwa aliyekusudia kuhiji? Je, amnunue katika nchi yake na kumgawanya au ni sawa pia endapo atamnunua Makkah na kumchinja huko?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Lakini kama yuko na familia basi bora amchinje nchini mwake kwa ajili ya watoto na watu wa nyumbani kwake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 03/07/2020
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-kwa-aliyekusudia-kuhiji/