Tumezungumzia kuhusu uchaguzi na kusema kuwa ni Twaaghuut na kwamba bunge ni Twaaghuut. Tumezungumzia mambo yanayoenda kinyume na dini ya Allaah. Tumeyaraddi kwenye vitabu “al-Muswara´ah”, “Qam´-ul-Mu´aanid”, “Ghaarat-ul-Ashritwah” na vingine.
Watu wanajua msimamo wetu kwa chaguzi hizi za ki-Twaaghuut na bunge hizi za ki-Twaaghuut. Lakini haina maana wale wenye kukaa bungeni ni makafiri. Hata hivyo wana sehemu ya Twaaghuut kivyake kutegemea na mapenzi ya mtu kwa bunge.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Burkaan, uk. 22
- Imechapishwa: 26/08/2020
Tumezungumzia kuhusu uchaguzi na kusema kuwa ni Twaaghuut na kwamba bunge ni Twaaghuut. Tumezungumzia mambo yanayoenda kinyume na dini ya Allaah. Tumeyaraddi kwenye vitabu “al-Muswara´ah”, “Qam´-ul-Mu´aanid”, “Ghaarat-ul-Ashritwah” na vingine.
Watu wanajua msimamo wetu kwa chaguzi hizi za ki-Twaaghuut na bunge hizi za ki-Twaaghuut. Lakini haina maana wale wenye kukaa bungeni ni makafiri. Hata hivyo wana sehemu ya Twaaghuut kivyake kutegemea na mapenzi ya mtu kwa bunge.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Burkaan, uk. 22
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/uchaguzi-na-bunge-ni-twaaghuut/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket