Swali:Je, inafaa kwa mwanamke kumkatalia mume wake kitandani akifanya mapungufu katika haki zake?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kujizuia nafsi yake kutokana naye mpaka mwa mfano ampe mahari yake, matumizi yake n.k. Huu ni uasi wa mwanamke wa haki. Inafaa kwake mwanamke kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali:Je, inafaa kwa mwanamke kumkatalia mume wake kitandani akifanya mapungufu katika haki zake?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kujizuia nafsi yake kutokana naye mpaka mwa mfano ampe mahari yake, matumizi yake n.k. Huu ni uasi wa mwanamke wa haki. Inafaa kwake mwanamke kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/uasi-wa-mwanamke-wa-haki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket