Swali: Tumekuona ukiashiria kwa kidole chako ulipokuwa unasema Hadiyth ya kuwa Allaah ataweka mlima kwenye kidole Chake. Je, hili linajuzu?
Jibu: Ndio, kwa njia ya kuhakikisha sifa. Kama ilivyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Allaah alimuumba Aadam hali ya kuwa ni mwenye kusikia na mwenye kuona.”
Halafu akaashiria kwenye masikio yake na macho yake. Hili ni kwa njia ya kuhakikisha sifa. Hakukusudiwi kufananisha.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/AbdelazizRajhi/Tahauiya2/02.mp3
- Imechapishwa: 06/09/2020
Swali: Tumekuona ukiashiria kwa kidole chako ulipokuwa unasema Hadiyth ya kuwa Allaah ataweka mlima kwenye kidole Chake. Je, hili linajuzu?
Jibu: Ndio, kwa njia ya kuhakikisha sifa. Kama ilivyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Allaah alimuumba Aadam hali ya kuwa ni mwenye kusikia na mwenye kuona.”
Halafu akaashiria kwenye masikio yake na macho yake. Hili ni kwa njia ya kuhakikisha sifa. Hakukusudiwi kufananisha.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/site/audios/AbdelazizRajhi/Tahauiya2/02.mp3
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/uashiriaji-wakati-wa-kutaja-sifa-sio-kufananisha/