Swali: Miaka mitatu ya nyuma nilihiji bila ya kufanya Twawaaf-ul-Ifaadhwah. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Nenda na ufanye Twawaaf-ul-Ifaadhwah. Wakati haujatoka. Ikiwa ulifanya jimaa katika wakati huo unatakiwa kutoa fidia ya kuchinja kondoo Makkah na kuigawa kwa mafukara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Miaka mitatu ya nyuma nilihiji bila ya kufanya Twawaaf-ul-Ifaadhwah. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Nenda na ufanye Twawaaf-ul-Ifaadhwah. Wakati haujatoka. Ikiwa ulifanya jimaa katika wakati huo unatakiwa kutoa fidia ya kuchinja kondoo Makkah na kuigawa kwa mafukara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/twawaaf-ul-ifaadhwah-miaka-mitatu-baada-ya-hajj/