Swali: Kufanya Tawaaf juu ya kipando pasi na haja?
Jibu: Haitakikani isipokuwa kukiwepo dharurah kama vile uzee na maradhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitufu hali ya kupanda kipando wakati watu walipokhofia juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23317/هل-يجوز-الطواف-راكبا-لغير-حاجة
- Imechapishwa: 23/12/2023
Swali: Kufanya Tawaaf juu ya kipando pasi na haja?
Jibu: Haitakikani isipokuwa kukiwepo dharurah kama vile uzee na maradhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitufu hali ya kupanda kipando wakati watu walipokhofia juu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23317/هل-يجوز-الطواف-راكبا-لغير-حاجة
Imechapishwa: 23/12/2023
https://firqatunnajia.com/twawaaf-juu-ya-kipando-bila-ya-dharurah/