Swali: Kuingiza TV nyumbani ni kama kuingiza picha na inazuia kuingia kwa Malaika?
Jibu: Picha haibaki kwenye TV. Hujitokeza kwenye kio na kuondoka. Lakini tatizo ni zile barnamiji zinazowekwa kwenye TV ndio zinazozingatiwa kama zitakuwa ni barnamiji nzuri au mbaya. Mara nyingi inakuwa si barnamiji nzuri. Hata kama kutapatikana kitu kidogo katika barnamiji nzuri mara nyingi kunakuwa barnamiji nyingi zisizokuwa nzuri. Mtu kuepukana nayo, kuiepusha nyumbani, watoto na wanawake, ni bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-4-3.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Kuingiza TV nyumbani ni kama kuingiza picha na inazuia kuingia kwa Malaika?
Jibu: Picha haibaki kwenye TV. Hujitokeza kwenye kio na kuondoka. Lakini tatizo ni zile barnamiji zinazowekwa kwenye TV ndio zinazozingatiwa kama zitakuwa ni barnamiji nzuri au mbaya. Mara nyingi inakuwa si barnamiji nzuri. Hata kama kutapatikana kitu kidogo katika barnamiji nzuri mara nyingi kunakuwa barnamiji nyingi zisizokuwa nzuri. Mtu kuepukana nayo, kuiepusha nyumbani, watoto na wanawake, ni bora zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-4-3.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/tv-ina-madhara-mengi-kuliko-faida/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)