Swali: Je, ni kweli ya kwamba watu wa Motoni miili yao itafanywa kuwa mikubwa mpaka jino la mmoja wao liwe kubwa kama mlima wa Uhud?
Jibu: Ndio, hili limethibiti. Miili yao itafanywa kuwa mikubwa kiasi cha kwamba haiishi ili wapatwe kuadhibiwa vizuri na kupata maumivu – tunaomba kinga kwa Allaah.
لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
“Hatokufa humo na wala hatoishi.” (20:74)
Hawatokufa ili waweze kustarehe na wala hawatoishi maisha ya kutoepuka adhabu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-4-3.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, ni kweli ya kwamba watu wa Motoni miili yao itafanywa kuwa mikubwa mpaka jino la mmoja wao liwe kubwa kama mlima wa Uhud?
Jibu: Ndio, hili limethibiti. Miili yao itafanywa kuwa mikubwa kiasi cha kwamba haiishi ili wapatwe kuadhibiwa vizuri na kupata maumivu – tunaomba kinga kwa Allaah.
لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
“Hatokufa humo na wala hatoishi.” (20:74)
Hawatokufa ili waweze kustarehe na wala hawatoishi maisha ya kutoepuka adhabu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-4-3.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/miili-ya-watu-wa-motoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)